Mtendaji Mkuu katika Ofisi ya Rais-Ufuatiliaji wa Utekelezaji wa Miradi (PDB) inayosimamia Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN), Bw. Omari Issa aliyekuwa mgeni rasmi katika Mahafali ya 23 ya Shule ya Sekondari ya St. Mary’s Mazinde Juu akitoa zawadi kwa mmoja wa wanafunzi.  
 Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya St. Mary’s Mazinde Juu wakionesha vipaji vya  kuimba na kucheza wakati wa mahafali ya 23 shuleni hapo
 Sehemu ya wahitimu wa kidato cha nne katika mahafali katika Shule ya Sekondari ya St. Mary’s Mazinde Juu wakifuatilia matukio katika sherehe hizo
  Mmoja wa wazazi aliyeshiriki mahafali ya 23 ya Shule ya Sekondari St. Mary’s Mazinde Juu akichangia ujenzi wa maabara ya sayansi shuleni hapo
  Mkuu wa Shule ya Sekondari St. Mary’s Mazinde Juu, Sister Evetha Kilamba akikata keki maalum ikiwa ni moja ya shamrashamra za mahafali shuleni hapo.  
Mtendaji Mkuu wa PDB, Bw. Omari Issa akizindua maktaba mpya ikiwa ni sehemu ya sherehe za mahafali ya 23 katika Shule ya Sekondari ya St. Mary’s Mazinde Juu. (Picha Kwa Hisani ya PDB).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...