Muasisi wa Shirika lisilo la kiserikali la READ International, Rob Wilson (katikati) akizungumza katikasherehe za miaka 10 ya shirika hilo jijini Dar es Salaam. Wengine ni baadhi ya wanachama wa shirika hilo la kujitolea nchini Tanzania. READ International inatimiza miaka 10 tokea kuanzishwa ikisihirikiana na Realising Education for Development pamoja na wahisani wengine imeweza kusaidia ujenzi wa maktaba 72 na kutoa vitabu zaidi ya milioni 1.4 nchini kote.
 Mjumbe wa Bodi ya READ International, Faraja Kotta Nyalandu (kulia), mwanzilishi wa READ, Tom Wilson (wa pili kushoto) pamoja na baadhi ya wanafunzi wa shule ya sekondari Makumbusho ya jijini Dar es Salaam wakikata keki kusherehekea miaka 10 ya shirika hilo.
  Muasisi wa Shirika lisilo la kiserikali la READ International, Rob Wilson (kulia) akizungumza na baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari Makumbusho alipotembelea maktaba ya shule hiyo iliyowezeshwa kwa ufadhili wa shirika hilo kwa kushirikiana na Realising Education for Developmentpamoja na wahisani  wengine. READ International inatimiza miaka 10 tokea kuanzishwa huku ikisaidia ujenzi wa maktaba 72 na kutoa vitabu zaidi ya milioni 1.4 nchini kote. Wengine pichani ni baadhi ya walimu wa shule hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...