Familia ya Bwana na Bibi Charles Yanga wa Tabata Chang'ombe, Dar es salaam, wanapenda kutoa shukurani za dhati kwa ndugu, jamaa na marafiki wote walioshirikiana nao katika mazishi ya mtoto wao mpendwa Abel Charles Yanga aliyefariki tarehe 22 July 2015 na kuzikwa tarehe 25 July 2015 katika makaburi ya Kinondoni, Dar es salaam. Familia inakukaribisha kwenye Misa ya shukurani Jumamosi tarehe 12 Sep. 2015 saa  5.00 asubuhi nyumbani Tabata Chang'ombe. Baada ya Misa tutashirikiana chakula cha mchana. Karibuni sana.
Kwa mawasiliano zaidi simu namba
0653 013 211

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...