Afisa
Sheria wa Wizara ya Mawasiliano, Eunice Masigati akizunzungumza na
waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na sheria za makosa ya
mitandao, ambapo sheria hii itatumia Tanzania Bara na Tanzania Zanzibar
wakati wa Tamasha la mtandao wa wanawake na katiba na uchumi
linaloendela TGNP jijini Dar es Salaam.
Afisa
Mawasiliano wa Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP), Melkizdeck Karol
akiwaelimisha waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya usalama wa
sheria za mitandao wakati wa Tamasha la mtandao wa wanawake na katiba
na uchumi linaloendela TGNP jijini Dar es Salaam. Pembeni ni Afisa
Sheria wa Wizara ya Mawasiliano, Eunice Masigati.
Afisa
Sheria wa Wizara ya Mawasiliano, Eunice Masigati akimsikiliza waandishi
wa habari wakichangia mada kuhusiana na sheria za makosa ya mitandao
wakati wa Tamasha la mtandao wa wanawake na katiba na uchumi
linaloendela TGNP jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...