Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za
Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Dkt. Deo Mutasiwa asisitiza jambo jana
jioni wakati wa ufungaji wa mkutano mkuu
wa mwaka wa sekta ya afya ambao
uliambatana na maadhimisho ya miaka 40 ya Mpango wa Taifa wa Chanjo uliofanyika kwenye hoteli ya kuanzia Septemba
8 hadi 11, mwaka huu Ubungo Plaza jijini Dares Salaam.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dkt. Donan Mmbando na wakipongezana mara baada ya kumaliza jana jioni mkutano mkuu wa mwaka wa sekta ya afya ambao uliambatana na
maadhimisho ya miaka 40 ya Mpango
wa Taifa wa Chanjo uliofanyika kwenye hoteli ya kuanzia Septemba
8 hadi 11, mwaka huu Ubungo Plaza jijini Dares Salaam.
Picha namba
3367 ni Baadhi ya wanganga wakuu wa mikoa na wilaya wakiwa katika huo.
Na Magreth Kinabo
SERIKALI imewataka watendaji
wote afya wa halmashauri ,mikoa wilaya kusimamia suala la usafi wa mazingira ilikuizesha
jamii kuepukana na matatizo ya milipuko ya magonjwa likiwemo suala la ugonjwa
wa kipindupindu.
Aidha Serikali pia
imewataka watendaji hao, kuanzisha siku maalum ya usafi katika maeneo
wanayotoka.
Kauli hiyo imetolewa jana jioni na Katibu Mkuu wa Wizara ya
Afya na Ustawi wa Jamii, Dkt. Donan Mmbando wakati akifunga mkutano mkuu
wa mwaka wa sekta ya afya ambao
uliambatana na maadhimisho ya
miaka 40 ya Mpango wa Taifa wa
Chanjo uliofanyika kwenye hoteli ya kuanzia Septemba 8
hadi 11, mwaka huu Ubungo Plaza jijini Dares Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...