Mwenyekiti wa CCM,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Jakaya Kikwete akisalimiana na Mgombea Urais wa chama hicho Dkt John Pombe Magufuli,mara baada ya kuwasili katika uwanja wa CCM Kirumba kuhitimisha shughuli za kampeni nchini kote,ambapo hapo kesho wananchi wanatarajia kupiga kura ya kuwachagua viongozi wawatakao.
 Mwenyekiti wa CCM Dkt Jakaya Kikwete na Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli wakielekea jukwaani kwa pamoja mara baada ya kupokelewa katika uwanja wa CCM Kirumba ambapo umati mkubwa watu umejitokeza kushuhudia tukio hilo adhimu.
 Mara baada ya kuwasalimia Wananchi kwa pamoja wakirejea meza kuu.

 Mgombea Urais wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania kupitoa chama cha Mapinduzi CCM Dkt John Pombe Magufuli akiwasili ndani ya uwanja wa CCM Kirumba huku akilakiwa na melfu ya wakazi wa jiji la Mwanza waliofurika hivi sasa kwenye hitimisho la mikutano ya kampeni.
 Wakazi wa jiji la Mwanza wakishangilia wakati Mgombea Urais wa CCM alipokuwa akiwasili ndani ya uwanja wa CCM Kirumba hivi punde kuhitimisha mikutano ya kampeni,ambapo kesho Wananchi nchini watapiga kura kuwachagua viongozi wawatako kuwatumikia katika awamu ya tano.
 Mgombea Urais wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania kupitoa chama cha Mapinduzi CCM Dkt John Pombe Magufuli akiwasili ndani ya uwanja wa CCM Kirumba huku akilakiwa na melfu ya wakazi wa jiji la Mwanza waliofurika hivi sasa kwenye hitimisho la mikutano ya kampeni.
PICHA NA MICHUZI JR-MWANZA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Wafa maji hao aweshi kutapatapa

    ReplyDelete
  2. Chromosome vya ukawa mwisho wake kesho

    ReplyDelete
  3. Usikukute kwa khamasa za kampeni zilivyokuwa zikihamasisha, khususan kwa upande wa chama tawala, pengine ukawa huenda wengi wao waka make their mind in the last mininute na kuMAGUFULIka pamoja, kwani kura ni siri ya mtu mwenyewe ila matokeo ni ya wote, we never know. Naamini matokeo ya ushindi kwa Chama tawala kama alivyoweza kuyatabiri Mh. John Pombe Magufuli katika kufunga kampeni zeke jana Mkoani Mwanza katika uwanja wa CCM Kirumba, alisema anaamini yatazidi 90's%. Kwa kweli hata ukiangalia hali inatia moyo na kutupa matumaini makubwa na mazuri, maana hatuna haja ya kuandikia mate wakati vidau vya wino tunaviona mbele ya macho yetu. Mola Ibariki Tanzania, ubariki na Uchaguzi Mkuu Tanzania.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...