Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wakazi wa jimbo la Muleba ya Kusini kwenye mkutano wa kampeni za CCM ambapo aliwaambia wananchi hao kuwa CCM imemleta Dk. John Pombe Magufuli kwa sababu ni kiongozi imara asiyetetereka na amekuwa mstari wa mbele kuona Taifa hili likiendelea..
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Muleba kusini
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiongozana na mgombea ubunge wa jimbo la Muleba ya Kaskazini Ndugu Charles Mwijage pamoja na mgombea ubunge wa jimbo la Muleba ya Kusini Profesa Anna Tibaijuka.

 Helkopta iliyombeba Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana ikipasua anga la mji wa Bukoba.PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...