Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,kupitia chama cha Mapinduzi Dkt John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi wa mkuranga kwenye mkutano wa kampeni.Dkt Magufuli amemaliza kampeni zake mkoa wa Lindi na baade ameendelea na kampeni zake ndani ya mkoa wa Pwani,ambapo anatarajia kujinadi maeneo mbalimbali ya mkoa Pwani katika kuwaomba ridhaa ya kuwaongoza wananchi katika awamu ya tano,katika uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyia Oktoba 25 mwaka huu.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupita chama cha Mapinduzi,Dtk John Pombe Magufuli akimnadi mgombea Ubunge wa jimbo la Mkuranga,Ndugu Abdallah Khamis Ulega mbele ya umati wa wakazi wa Mkuranga kwenye kutano wa kampeni.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupita chama cha Mapinduzi,Dtk John Pombe Magufuli akimnadi mgombea Ubunge wa jimbo la Mkuranga,Ndugu Abdallah Khamis Ulega mbele ya umati wa wakazi wa Mkuranga,kwenye kutano wa kampeni
Sehemu ya Umati wa Mkuranga wakishangila jambo kwenye mkutano wa kampeni wa Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli uliofanyika Mkuranga.
Sehemu ya Umati wa Mkuranga wakishangila jambo kwenye mkutano wa kampeni wa Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli uliofanyika MKuranga.
Dkt. Magufuli akiwa ameshika kadi za Wananchama wa upinzani walioamua kuhamia CCM katika mkutano wa kampeni
Dk Magufuli akimkabidhi Ilani ya Uchaguzi ya CCM, Mgombea ubunge Jimbo la Nchinga, Said Mtanda katika mkutano wa kampeni Kata ya Nangaru.
 Dk Magufuli akimnadi Mgombea ubunge Jimbo la Kilwa Kusini, wakati wa mkutano wa kampeni za CCM  mjini Kilwa Masoko.
Wananchi wa Kibiti wakimsikiliza Mgombea Urais wa CCM,Dkt Magufuli alipokuwa akiwahutubia kwenye mkutano wa kampeni na kuwaomba kura wananchi hao ili wamchague akawe Rais wa awamu ya tano kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa Oktoba 25 mwaka huu.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. CCM imetangulia katika kampeni tumesikia sera zinazotekelezeka, hoja za maendeleo zinaendelea kutolewa.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...