Mgombea
Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,kupitia chama cha Mapinduzi
Dkt John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi wa mkuranga kwenye mkutano wa kampeni.Dkt Magufuli amemaliza kampeni zake mkoa wa
Lindi na baade ameendelea na kampeni zake ndani ya mkoa wa Pwani,ambapo
anatarajia kujinadi maeneo mbalimbali ya mkoa Pwani katika kuwaomba
ridhaa ya kuwaongoza wananchi katika awamu ya tano,katika uchaguzi Mkuu
unaotarajiwa kufanyia Oktoba 25 mwaka huu.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupita chama cha Mapinduzi,Dtk John Pombe Magufuli akimnadi mgombea Ubunge wa jimbo la Mkuranga,Ndugu Abdallah Khamis Ulega mbele ya umati wa wakazi wa Mkuranga kwenye kutano wa kampeni.
Mgombea
Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupita chama cha Mapinduzi,Dtk
John Pombe Magufuli akimnadi mgombea Ubunge wa jimbo la Mkuranga,Ndugu
Abdallah Khamis Ulega mbele ya umati wa wakazi wa Mkuranga,kwenye kutano wa kampeni
Sehemu
ya Umati wa Mkuranga wakishangila jambo kwenye mkutano wa kampeni wa
Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli uliofanyika Mkuranga.
Sehemu ya Umati wa Mkuranga wakishangila jambo kwenye mkutano wa kampeni
wa Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli uliofanyika MKuranga.
Dkt. Magufuli akiwa ameshika kadi za Wananchama wa upinzani walioamua kuhamia CCM katika mkutano wa kampeni
Dk Magufuli akimkabidhi Ilani ya Uchaguzi ya CCM, Mgombea ubunge Jimbo la Nchinga, Said Mtanda katika mkutano wa kampeni Kata ya Nangaru.
Dk Magufuli akimnadi Mgombea ubunge Jimbo la Kilwa Kusini, wakati wa mkutano wa kampeni za CCM mjini Kilwa Masoko.
Wananchi wa Kibiti wakimsikiliza Mgombea Urais wa CCM,Dkt Magufuli alipokuwa akiwahutubia kwenye mkutano wa kampeni na kuwaomba kura wananchi hao ili wamchague akawe Rais wa awamu ya tano kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa Oktoba 25 mwaka huu.
CCM imetangulia katika kampeni tumesikia sera zinazotekelezeka, hoja za maendeleo zinaendelea kutolewa.
ReplyDelete