DR. LAWRENCE SPINELLI 
Dr. Spinelli is the Director of Outreach and Public Affairs at the Overseas Private Investment Corporation (OPIC) which is the U.S. government’s development finance institution.  Akiongea mbele ya wahudhuriaji wakati wa Keytone Lucheon kwenye mkutano huo. 
Wa kwanza kutoka kushoto ni Moderator wa Mkutano Ms. Paula Murphy, wa pili ni Panel Spekers Mr. James Paul,  U.S. Department of Commerce U.S. Commercial Service, Director, Boston Office. wa tatu ni John Joyce, U.S Small Business Administration, Office of International Trade, Regional Manager, na wa nne ni Mr Tom Hardy. U.S. Trade and Development Agency, Director for Congressional Affairs and Public Relations.
 Wote kwa pamoja walifafanua madhumuni ya mkutano huu uliokutanisha wajasiriamali kutoka sehem mbalimbali za Marekani na Africa. Dhumuni hasa ya mkutano huu ni kutoa fursa  ya mikopo ya gharama nafuu kwa watu wenye nia ya kuanzisha biashara au kufungua company binafsi. Njia za kufuata, faida zake na mambo mengine ya jinsi gani mikopo kama hiyo ina weza kusaidia kujikwamua kimaisha kwa watu wa Diaspora wanaotaka kufanya hivyo huko Africa.

Alison Germak
Director, Corporate Development
Washington D.C. Metro AreaInternational Trade and Development.
 President wa Temba Engineering Service New York, Dr Temba akiuliza swali kwenye mkutano huo.
Benedict Kazora, MSEE, MBA 
Eastern Africa Diaspora Business Council (EADBC), 
Verizon akiuliza swali.
Ny Ebra kutoka New York akibadilishana mawazo na Benedict Kazora kutoka Dallas. Kazora ni  President of Eastern Africa Diaspora Business Council.
 Dr Temba na washiriki wengine kutoka Africa wakifuhatilia kwa makini kinachozungumzwa mkutanoni hapo.
Mkutano huu ulifanyika  ndani ya ukumbi wa Westin Boston Waterfront Boston, Massachusetts  siku ya tarehe 13 hadi 14 Oct.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Kiswahili safi kipo kwenye parandesi, wakifuhatiria (WAKIFUATILIA) wakibadirishana (WAKIBADILISHANA).

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...