Napenda kuwajulisha Watanzania waishio Dallas, Omaha, na Kansas City kwamba kutatolewa semina ambazo zitatoa fursa ya kujiendeleza katika elimu ya kibiashara. Kama unatarajia kuanziasha biashara yako kwa siku za karibuni au ndio kwanza umeanza biashara yako; basi kuna umuhimu wa kupata mwamko/elimu zaidi juu ya uanzishaji na uendeshaji wa biashara katika viwango vya juu.
Elimu hii ni muhimu kwa watarajiwa ili kuanzisha biashara zenye ujasiri na ufanisi zaidi katika hatua za kupambana na upinzani wa kibiashara, ambao kwa sasa unazidi kuwa mgumu.
 Pia elimu itakusadia kufahamu yafuatayo:
1.       Ni wakati gani wa kuanzisha biashara.
2.       Ni aina gani ya biashara ya kuanziasha.
3.       Sheria zote zihusianazo na biashara.
4.       Uchaguaji wa eneo la biashara.
5.       Wateja (customer service).
6.       Ufanisi wa kibiashara (enterprise strategy).
7.       Uuzaji wa bithaa/huduma (sales and marketing).
8.       Ubora wa huduma/bithaa (total quality management)
9.       Uendeshaji wa biashara (operations).


Jipatie seat yako kwa kujiandikisha kwenye link hii: www.tropixconsulting.com

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...