Huu ni uchambuzi wa Habari za Magazeti toka vituo mblimbali vya Televisheni October 14, 2015

TBC 
NEC Yatumia Mfumo Mpya, ni mfumo wa kujumlisha matokeo, Dkt. Magufuli aomba kura kwenye Mabasi. Pata dondoo hizi za magazeti ya leo hapa. https://youtu.be/4I5dO8epJR8

Star TV
Magufuli Aahidi Bima Ya Afya Kwa Wananchi, Lowassa Kupigania Mikataba ya Madini, Mahujaji wengine 4 wagundulika kufariki. Habarika hapa zaidi. https://youtu.be/qqM7snXi8kM

CH 10
Lowassa ageukia Madini, JK awajia Juu Viongozi Wabovu, Lowassa na Dkt Slaa waua Katiba Mpya UKAWA, Pata uchambuzi zaidi wa magazeti hapa. https://youtu.be/lVEXj7JCT9Y

Azam TV
Tambwe Abaki Burundi, Hofu yatanda, Van Perse na Depay wazichapa mazoezini, kiiza ajitoa mechi ya mbeya City. Pata dondoo za habar za Michezo. https://youtu.be/viEey0srbBQ



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...