Wakazi wa Jiji la Mbeya Mjini wajitokeza kwa wingi kupiga
kura katika Vituo mbalimbali walivyo jiandikishia kuajili ya kupiga
Kura kama waonekanavyo hapo katika Picha ni baadhi ya watu wakiwa
katika kituo kilichopo Mtaa wa Mkombozi Jijini Mbeya wakiwa wamepanga
Foleni kuajili ya kupiga Kura.
Baadhi ya Wapiga kura wakiwa katika
Foleni..
Hapa
ni eneo la Mwanjelwa maharufu kwa Jina la Mtaa wa kongo likiwa Pweke
kuajili ya uchaguzi hakuna alie leta Biashara yake hapa siku hii ya
leo.
Baadhii ya Maduka ya Vitu vya Jumla na Lejaleja yakiwa
yamefungwa Eneo la Kabwa Stendi.
Jeshi la Polisi linaendelea kuzungukia Mitaa mbalimbali kuhakikisha hali ya Usalama jijini Mbeya inakuwa shwari katika kipindi hiki cha uchaguzi.
PICHA ZOTE NA FADHIRI ATICK-MR.PENGO MBEYA
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...