Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa CUF (Bara) bibi Magdalena Sakaya, Naibu Katibu Mkuu (Zanzibar) Mhe. Nassor Ahmed Mazurui, pamoja na baadhi ya wajumbe wa baraza kuu la Uongozi CUF, mara baada ya kuwasili katika hoteli ya Mazsons Mjini Zanzibar kwa ajili ya kuanza kikao hicho.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...