Dkt Hamisi Kigwangalla Mbunge Mteule Nzega Vijijini CCM.


MBUNGE mteule jimbo la Nzega vijijini  Dkt Hamisi Kigwangalla  (CCM) ametoa ushauri kwa wizara husika juu ya udhibiti wa kuvuja kwa madawa serikalini na kwenda kwenye maduka binafsi.

Kupitia ukarasa wake facebook Kigwangalla amesema #‎Sasa Kazi Tu Changamoto ya Udhibiti wa Kuvuja Madawa Kutoka Mfumo wa Serikali Kwenda Kwenye Maduka ya Watu Binafsi ni Katika Mambo ambayo mgombea Urais wa CCM, Ndg. John Pombe Magufuli alionesha kuwa yanamkera sana. Hivyo wananchi wanasubiri kuona nini kitafanyika kutatua changamoto hii...kuna 'expectation gap' ambayo ni lazima izibwe ndipo watu wasadiki kushuhudia #‎MabadilikoYaKweli.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Tatizo lipo kwenye hao watu wanaodili na madawa

    ReplyDelete
  2. The mdudu, pamoja sana ndugu Hamisi K, kumbe tuna matinga tinga wengi ndani ya Tanzania yetu hili swala sio ushauri tena ila ni #lazimaiwehivyo mimi nashangaa sana hivi waziri husika alikua wapi? Mpaka mtu mwingine kabisa from no where anakuja na ushauri mwanana kabisa,,,,,,,, ndugu zangu watanzania ndugu yenu mimi The mdudu, nipo huku Uingereza ushenzi kama huo wa wagonjwa kukusa dawa kwenye hospital za serikali kamwe haiwezi tokea so ushauri wangu kwa rais wetu Magufuli Huyu ndugu HAMISI K, ana FIT wizara ya AFYA nakuomba umuweke huko please ili akomeshe huo ushenzi hongera sana ndugu Hamisi K, watu kama nyie mko wachache sana mungu akupe afya njema muda wote to be honest nimeguswa sana na ushauri wako

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...