Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Omar Chambo (wa kwanza kulia) akizungumza na watendaji wa Wizara ya Nishati na Madini na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) mara baada ya kuwasili katika kituo cha kuzalisha umeme wa maji cha Mtera ili kukagua kituo hicho na kuzungumza na wataalam.Wa Tatu kulia ni Kamishna wa Nishati na Maendeleo ya Petroli, Mhandisi Hosea Mbise), na wa Nne kulia ni Mkurugenzi wa Idara ya Sheria Wizara ya Nishati na Madini, Justus Mulokozi.
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Omar Chambo (katikati) akikagua kituo cha kuzalisha umeme wa maji cha Mtera mara baada ya kufanya mazungumzo na watendaji wa Tanesco wanaosimamia kituo hicho. Wa Kwanza Kushoto ni Kaimu Meneja wa Kituo cha Mtera, Eng. Manfred Mbyallu na kulia ni Meneja Uzalishaji Umeme wa Maji nchini, Antony Mbushi.
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Omar Chambo (wa kwanza kushoto waliokaa) akiwa katika chumba cha kuongozea mitambo ya uzalishaji umeme katika kituo cha kuzalisha umeme cha Kidatu mkoani Morogoro wakati alipofanya ziara katika kituo hicho. Katikati (waliokaa) ni Kamishna wa Nishati na Maendeleo ya Petroli, Mhandisi Hosea Mbise na Wa Kwanza kulia ni Mkurugenzi wa Sheria Wizara ya Nishati na Madini, Justus Mulokozi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...