Tasnia ya michezo hususani kandanda imepata pigo kubwa kwa kuondokewa na mwanamichezo mkongwe Majid Adam Issa Maki (pichani) aliyefariki alfajiri ya leo. Msiba upo nyumbani kwa marehemu Yombo, Dar es salaam na mazishi yanatarajiwa kufanyika leo saa kumi katika makaburi ya Kisutu.
Marehemu, ambaye ni mtoto wa Mwalimu Adam Issa Maki, atakumbukwa kama mmoja wa wachezaji mahiri wa klabu ya Sunderland (Simba) na pia mmoja wa waanzilishi wa klabu ya Red star ambako alikuwa team manager.
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un
Inna Lillah waynna Illahy Rajiuun
ReplyDeleteInna Lillahi wa Inna Ilayhi Rajiuun. Mwenyezi Mungu aipumzishe roho yake mahali pema na amsamehe makosa yake. Ameen. Namkumbuka sana Marehemu kwani alicheza mprira pamoja na Marehemu Mzee wangu MBARAKA SALUM MAGEMBE. Poleni sana wafiwa.
ReplyDeleteMaua, New York.