SIMU.TV:  Mh.Majaliwa asema hakutegemea, aahidi kutumikia wote bila ubaguzi. Dk.Tulia achaguliwa kuwa Naibu Spika Bunge la 11; 
SIMU.TV:  Wazimia baada ya nyumba 25 kuvunjwa Dar,  watoto watatu wauwawa  kikatili. Wazanzibari waandamana London; https://youtu.be/2OWnUdzu-rI     
SIMU.TV:  Vyama vya siasa vyatakiwa kuvunja vikundi vya ulinzi. Profesa Lipumba amsifu Rais Magufuli kwa uteuzi wa Waziri Mkuu; https://youtu.be/Me8XZ1KxDy0

SIMU.TV:  Mkwasa abeba lawama zigo la 7-0. MCameroon atua rasmi Simba, safari ya Miss Tanzania , China yaiva. Pata habari motomoto zilizotawala katika magazeti ya leo; https://youtu.be/1wBDkbbtnak

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...