Waziri  Mkuu Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa  akizungumza na  Mke wa Rais Mstaafu wa  Awamu ya Nnne , Mama Salma Kikwete katika hafla fupi  iliyoyofanyika kwenye viwanja vya Bunge mjiniDodoma  baada ya Rais John Magufuli kuzindua Bunge Novemba 2015
 Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa  akisalimiana na  Rais Mstaafu wa  Zanzibar, Aman Abeid Karume katika hafla fupi  iliyofuatia  kuzinduliwa kwa Bunge na Rais John Magufuli kwenye  mjini Dodoma Novemba 20, 2015. Hafla hiyo ilifanyika kwenye viwanja vya Bunge
Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa akifurahia jambo katika mazungumzo na Mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde (kushoto) na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Taifa, Abdallah Bulembo katika hafla fupi ya kuzindua bunge iliyofanyika kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Novemba 20, 2015.
  Waziri Mkuu Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa akizungumza na  Spika wa Bunge Job Ndugai (kushoto) , Mkewe Mary  (wapili kushoto) na  Katibu wa Bunge Dkt. Thomas Kashilila  (wapili kulia) katika hafla ya  kuzindua Bunge iliyofanyika kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Novemba 20, 2015
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Kassim  akizungumza na baadhi ya wabunge  na waalikwa waliohudhuria hafla fupi  iliyofanyika kwenye viwanja vya bunge mjini Dodoma  baada ya Rais John Magufuli kuzindua Bunge Novemba  20, 2015. Picha na PMO

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Jamani huu mchapalo ndio uliokuwa wa sh milioni 250?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...