Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe  Joseph Magufuli kulia akifurahia jambo na makamu wa pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Balozi Seif  Ali Iddi aliyefika Ikulu kwa ajili ya mazungumzo. 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania dkt. John Pombe Joseph Magufuli kulia akizungumza na Makamu wa pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi aliyefika Ikulu jijini Dar es Salaam kwaajili ya mazungumzo. 
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania dkt. John Pombe Joseph Magufuli  kulia akiagana na makamu wa pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi mara baada ya kufanya nae mazungumzo ikulu jijini dar es salaam. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Mazungumzo yalihusu uwezekano wa CCM kurudia uchaguzi Zanzibar na namna ya kuhakikisha CCM itashinda vipi kwa kuwa hakuna watu wa kotosha kuwapa ushindi.

    WAKANYWA SODA BAADA YA MAZUNGUMZO BILA KEKI KWA KUWA TUNABANA MATUMIZINA KUONDOKA.

    mdau.

    Dar.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...