Leo ndio siku ya kuzaliwa mwanamtindo na mbunifu maarufu wa mitindo ya mavazi wa kimataifa Asya Idarous wa  Khamsin almaarufu kama "Mama wa Mtindo" Mtanzania aliyejizolea sifa kedekede na anayeendelea kuiwakilisha Tanzania kimataifa katika fani ya mitindo ya mavazi.
Tunamtikia kila la kheri, afyaa njema,maisha bora, maisha marefu,na furaha ya maisha.

 Keki ya Mama wa Mitindo
Mama wa Mitindo akionesha kwa nini anaitwa hivyo.
Globu ya Jamii inamtakia Mama wa Mitindo maisha marefu ya furaha, heri na fanaka, Tunamshukuru sana yeye na mume wake Kaka Khamsin kwa kuwa mstari wa mbele kutupa ushauri wa kikazi na wa kifamilia katika shida na raha bila kuchoka. HAPPY BIRTHDAY MAMA WA MITINDO!!!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...