Washindi wa kwanza wa
mashindano.ya baiskeli, ya Rift Valley
Odyssey ya liyofanyika jijini arusha DEC 6 Mwaka huu Sophia Husseni wa kwanza
(kulia) na Sophia Adson wa (pili) kutoka kulia wakiwa na Mkurugenzi wa 6degrees
Simone Paine wa pili kutoka kulia yaliyo fanyika Arusha ambapo wachezaji
toka ndani nan je ya nchi wameshirikai kwa takriban siku mbili kuendesha kwa
umbali wa kilomita 115. Masindano ambayo yanawapa ushindi timu ya Warriors
ambao wametumia masaa matano na dakika 28
Mshindi wakwanza wa mashindano ya
kuendesha baiskeli ya Rift Valley Odyssey Sophia Husseni ya liyofanyika jijini arusha DEC Jijini Arusha
Mkurugenzi wa 6degrees
Simone Paine akizungumza na washiriki wa shindano hilo.
Mshindi wa kwanza wa mashindano ya
kuendesha baiskeli ya Rift Valley Odyssey Sophia Husseni
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...