Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel akifungua Mhadhara wa ukuzaji Kiswahili kupitia tafsiri ulioandaliwa na Mkurugenzi wa Idara ya Utamaduni Profesa Hermas Mwansoko katika hafla ya kumuaga Mkurugenzi huyo anayemaliza muda wake wa utumishi wa umma.
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel akipokea rasimu ya awali ya ukuzaji wa Kiswahili kupitia Tafsiri ikiwa ni mchango wa Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Utamaduni Profesa Hermas Mwansoko, anayekabidhi ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu Huria Dkt. Hadija Jilala.
Profesa Aladin Mutembei aliyesimama kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam akichangia mada ya ukuza ji wa Kiswahili kupitia Tafsiri katika mhadhara ulioandaliwa na Mkurugenzi wa Idara ya Utamaduni Profesa Hermas Mwansoko anayemaliza muda wake wa utumishi wa umma, kulia kwake ni Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel.
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...