Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akihutubia wadau mbalimbali hawapo pichani wakati wa maadhimisho ya Haki za Binadamu Duniani yaliyofanyika leo jijini Dar es salaam.
Kikosi cha Bendi ya Askari magereza wakiongoza maandamano kwa ajili ya kuadhimisha siku ya haki za Binadamu Duniani yaliyofanyika leo jijini Dar es salaam.
Wananfunzi waliobeba mabango yakiwa na ujumbe mbalimbali unaosisitiza haki za Binadamu zizingatiwe wakiwa katika maandamano ya kuadhimisha siku ya Haki za Binadamu Duniani yaliyofanyika leo Jijini Dar es salaam.
PICHA ZOTE NA ALLY DAUD - MAELEZO.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...