Mkuu wa ofisi na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) nchini, Zulmira Rodrigues akisoma hotuba mbele ya wageni waalikwa waliofika kwenye uzinduzi wa Ripoti ya Mafanikio ya Mradi wa Wasichana walioacha shule kwa sababu za Ujauzito unaofadhili Ubalozi wa Japan na kuratibiwa na UNESCO.
(Picha zote na Geofrey Adroph wa Pamoja blog) 
Balozi wa Japani nchini Tanzania Mh. Masaharu Yoshida akisoma hotuba yake wakati wa uzinduzi wa Ripoti ya mafanikio ya mradi wa Wasichana walioacha shule kwa sababu za Ujauzito uliofadhiliwa Ubalozi wa Japan na kuratibiwa na UNESCO Tanzania.
Mshauri na Mwakilishi kutoka shirika la UNFPA, Anna Holmstrom akitoa ufafanuzi wa ripoti iliyofanyika katika mkoa wa Shinyanga juu ya wazazi wenye umri mdogo waliopta mimba wakiwa bado shuleni. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...