Mafundi wakiendelea na Upanuzi wa barabara ya Mwenge Morocco jijini Dar es Salaam leo ikiwa ni sehemu ya agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, Hii ni baada ya Rais kuelekeza fedha za maadhimisho ya siku ya uhuru ya Disemba 9 zitumike katika upanuzi wa barabara hiyo.
Home
Unlabelled
UPANUZI WA BARABARA YA MWENGE- MOROCCO WAANZA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Inapendeza kuona kasi za kujenga nchi. Naona hakuna uburuzaji wa miguu siku hizi. Hongera JPM na timu mpya
ReplyDeleteWakuu wa Dar nawaomba upanunuzi huu ukimalizika njia hiyo iitwe Desember9/15
Iwe ni ukumbusho wetu.