Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
Mh. Nape Nnauye kushoto akiongea na Balozi wa Norway nchini Tanzania
Hanne-Marie Kaarstad wakati wa Kikao kilichofanyika Ofisini kwa Waziri,katika
kikao hicho Norway iliahidi kuendelea kudumisha ushirikiano na Tanzania katika
sekta ya utamaduni, Sanaa na Michezo.
Balozi wa Norway nchini Tanzania Hanne-Marie Kaarstad
kulia akiongea na Waziri wa Habari,
Utamaduni, Sanaa na Michezo Mh. Nape Nnauye kushoto wakati wa Kikao
kilichofanyika Ofisini kwa Waziri,katika kikao hicho Norway iliahidi kuendelea
kudumisha ushirikiano na Tanzania katika sekta ya utamaduni, Sanaa na Michezo. (Picha na Benjamin Sawe-WHUSM).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...