Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard  Kalemani (wa pili kulia) akimsikiliza mmoja wa wananchi wanaozunguka mgodi wa dhahabu wa Busolwa mkoani Geita wakati alipofanya ziara katika mgodi huo ili kuangalia shughuli mbalimbali zinazofanyika katika mgodi huo.
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard  Kalemani (wa tatu kulia) akiangalia baadhi ya mitambo inayotumika katika shughuli za uzalishaji dhahabu katika  mgodi wa Busolwa mkoani Geita wakati alipofanya ziara katika mgodi huo . Wa kwanza kulia ni mmiliki wa mgodi huo, Baraka Ezekiel.
 Baadhi ya mitambo inayotumika katika shughuli za uzalishaji dhahabu katika  mgodi wa Busolwa mkoani Geita unaomilikiwa na  Baraka Ezekiel. 
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard  Kalemani (katikati) akiwa na watendaji mbalimbali kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Shirika la Umem e nchini (TANESCO), Wakala wa Ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA), Wakala wa Nishati Vijijini (REA)na Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) wakati wa kikao chake na wakandarasi wanaosambaza umeme vijijini (hawapo pichani) kilichofanyika mkoani Geita .


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...