Mkurugenzi
wa Mambo ya nje wa Chama cha NCCR-Mageuzi na Mbunge wa bunge la Afrika
Mashariki,Ndelakindo Kessy akizungumzia utaratibu ambao chama hicho
umeuanzisha wa kusaidia watoto waishio katika mazingira magumu katika
jimbo la Vunjo.

Baadhi
ya watoto kutoka kata 16 za jimboo la Vunjo walioandaliwa sherehe ya
kuukarbisha mwaka mpya wa 2016 na Chama cha NCCR-Mageuzi katika jimbo la
Vunjo. 

Mbunge wa Viti Maalum kupitia chama cha NCR-Mageuzi,Corona Kundi akizungumza na watoto.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...