
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na
Mkewe Mary (kushoto kwake ) wakielekea kwenye Chumba cha mapumziko
baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Songea na kupokelewa na
wanachi na viongozi wa mkoa huo Januari 3, 2016. Kulia kwake ni Mkuu wa
Mkoa wa Ruvuma , Thabiti Mwambungu na kushoto ni Mbunge wa Songea
Leonidas Gama. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...