Kikundi cha ngoma za asili ya kigogo cha Chamwino Ikulu Dodoma kikitumbuiza wakati wa uzinduzi wa kampeni ya Mkoa wa Dodoma ya kugawa vyandarua vya bila malipo kwa kaya Februari 9, 2016.
 Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Gallawa akigawa vyandarua vya bila malipo kwa wananchi wa kijiji cha Chamwino Ikulu wakati wa uzinduzi wa kampeni ya ugawaji vyandarua Mkoani humo Februari 9, 2016.
 Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Gallawa akiwafundisha wananchi wa Chamwino Ikulu namna bora ya kuwakinga watoto dhidi ya mbu na malaria kwa kuwalaza kwenye vyandarua wakati wa uzinduzi wa kampeni ya ugawaji vyandarua Mkoani humo Februari 9, 2016.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...