Mwenyekiti wa Kamati ndogo ya Sheria za Uratibu wa Kuandaa na Kuchapishwa kwa sheria ndogo ndogo za Bunge Mhe. William Ngeleja (katikati) akiwa katika ziara yake katika Idara ya Mpigachapa Mkuu wa Serikali Ofisi ya Waziri Mkuu Machi, 15, 2016. 
 Mwenyekiti wa Kamati ndogo ya Sheria za Uratibu wa Kuandaa na Kuchapishwa kwa sheria ndogo ndogo za Bunge Mhe. William Ngeleja akielezea umuhimu wa kuhifadhi nyaraka za serikali wakati wa ziara yake katika Idara ya Mpigachapa Mkuu wa Serikali Ofisi ya Waziri Mkuu Machi 15, 2016 wa kwanza kulia ni Mpigachapa Mkuu wa Serikali Bw.Cassian Chibogoyo. 
 Mbunge wa Manyoni Mashariki Mhe.Daniel Mtuka akiangalia moja ya kitabu kilichochapishwa na Idara ya Mpigachapa Mkuu wa Serikali Ofisi ya Waziri Mkuu wakati wa ziara ya Kamati ndogo ya Sheria za Uratibu wa kuandaa na kuchapishwa kwa sheria ndogo ndogo za bunge, wa kwanza kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Uchapishaji Bi.Joyce Benjamin. 
 Katibu Mkuu Sera na Uratibu Ofisi ya Waziri Mkuu Dkt. Hamis Mwinyimvua (wa sita kutoka kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa Kamati ndogo ya Sheria za Uratibu wa kuandaa na kuchapishwa kwa sheria ndogo ndogo za Bunge pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa Idara ya Mpigachapa Mkuu wa Serikali Ofisi ya Waziri Mkuu, mara baada ya ziara ya kamati hiyo Machi 15, 2016.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...