Mwalimu Julius Kambarage Nyerere akikagua timu wanja wa Taifa miaka ya 1970. Alikuwa mpenzi sana wa mchezo huu hadi pale FAT walipomfedhehesha mbele ya mgeni wake Rais Nimeiry wa Sudan kwa kuleta timu ya Taifa Uwanjani wachezaji wakiwa tumbo wazi mwaka 1972. Toka siku hii hakukanyaga tena uwanja wa soka.
Siku ya Aibu kwa Taifa: Rais Jaafar Muhammad al-Nimeiry  wa Sudan akisalimiana na  Omary Zimbwe. Wengine kutoka kushoto ni Mohamed Chuma, nahodha Mohamed Abdurlahmani,  Kitwana Manara m na Abdallah Kibadeni 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Duh kwahiyo Mzee kibadeni anaweza kutupa historia jinsi ilivyokua .....yawezekana pia walicheza peku. Hata hivyo ni kumbukumbu nzuri sana ktk medani ya soka. Heshima kubwa iende kwa wachezaji wote wa stars waliocheza siku hiyo na wote waliokaa benchi matumbo wazi!!hahahahaa

    ReplyDelete
  2. Kha! hebu tupe maelezo ya ziada please.

    Walikwenda tumbo wazi kwa vile hawakununuliwa fulana au vipi? Maana hili kwa ukweli lilikuwa tukio la mwaka.

    ReplyDelete
  3. A male footballer parading in bare chest is no news.They are just showing off pecs.

    ReplyDelete
  4. Uzembe kwenye soma letu umeanza zamani.Siku hiyo ilikuwa aibu.

    ReplyDelete
  5. Duh...tumetoka mbali...

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...