Bw Venance Mwamoto.

Na MatukiodaimaBlog
WAZIRI  wa maji na  umwagiliaji mhadisi Geryson Lwenge amewaondoa  hofu   wananchi  wa  mji  wa Ilula  wilaya ya  Kilolo  mkoani Iringa kuhusu  ahadi  ya Rais Dr John Magufuli ya  kumaliza kero ya  maji  katika  mji  huo  wa Ilula kuwa  itaanza kutekelezwa mwaka  huu.

Alisema  kuwa serikali  ya  awamu ya  tano  chini ya  Rais Dr Magufuli  ni  serikali ya ukweli na  uwazi na ni  serikali ya  hapa  kazi Tu  hivyo kila ilichoahidi  kukifanya  itafanya kwa  wakati na  kuwataka  wananchi  kuendelea kujenga  imani  zaidi.
  
Waziri mhandisi  Lwenge aliyasema  hayo jana katika Mgahawa wa Bunge mjini  Dodoma , wakati  akizungumza katika  kikao chake na mbunge wa  jimbo la Kilolo Venance Mwamoto na mbunge wa viti maalum mkoa  wa Iringa Ritta Kabati na wawakilishi   11 wa wananchi  wa mji  wa Ilula waliofika bungeni  mjini Dodoma kufuatilia ahadi ya maji  iliyotolewa na Rais Dr  Magufuli  wakati wa kampeni kwa wananchi  wa mji  wa Ilula .  
 Mwamoto  akishiriki na  wananchi wa mji wa Ilula  kukinga maji ambayo hutoka kwa mgao.
Kijana  wa Ilula  akichambua nyanya.
Kusoma zaidi bofya HAPA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...