Waziri wa Katiba na sheria Dkt.Harrison Mwakyembe akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani katika mkutano wa kupokea ripoti ya ukaguzi kutoka kwa Taasisi zote zinazofanya usajili wa asasi za kiraia leo jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Amon Mpanju
Waziri wa Katiba na sheria Dkt. Harrison Mwakyembe akipokea ripoti ukaguzi kutoka kwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Amon Mpanju leo jijini Dar es Salaam.
Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Rita,Emmy Karomba akifafanua jambo kulia ni Waziri wa Katiba na sheria Dkt. Harrison Mwakyembe leo jijini Dar es Salaam.
Sehemu ya waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali wakiwa katika mkutano huo leo jijini Dar es Salaam. (Picha na Emmanuel Massaka,Globu ya jamii)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...