Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt John Pombe Magufuli ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM),akiwapungia baadhi ya Wananchi,akiwa ameambatana na katibu Mkuu wa chama cha Mapinduzi (CCM),Ndugu Abdulrahman Kinana (kulia kwa Rais) wakielekea kwenye ofisi za kampuni ya kuchapisha Magazeti ya Uhuru Puplication Limited wanaochapisha magaezeti ya Uhuru,Mzalendo,Burudani na redio ya Uhuru FM,mapema leo jijini Dar.PICHA ZAIDI ZINAKUJA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...