Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Mikono, Deogratius Kilawe akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam leo, juu ya kampuni yake kutoa kiasi cha asilia 10 ya mapato ya Kongamano la Huduma za Kifedha (Financial Services Expo 2016) kwa ajili ya kusaidia wahanga wa Tetemeko la Ardhi lililowata wananchi wa Mkoa wa Kagera hivi karibuni pamoja na NGO za Tanzania. Kulia ni Mkuu wa Masoko wa Kampuni ya Mikono, Niss Richard na kushoto ni Meneja Mauzo na Masoko, Rory Dossa.
Home
Unlabelled
KAMPUNI YA MOKONO KUSAIDIA WAATHIRIKA WA TETEMEKO LA ARDHI KAGERA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...