Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST) Prof.Abdulkarim Mruma akimuonesha Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi,Teknolojia na Ufundi Bi. Maimuna Tarishi maeneo sahihi ya ujenzi wa majengo katika shule ya sekondari Ihungo.
 Mkufunzi Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Idara ya Jiolojia akimuonesha Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi,Teknolojia na Ufundi Bi. Maimuna Tarishi maeneo sahihi ya ujenzi wa majengo katika shule ya sekondari Ihungo.
 Mkufunzi Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Idara ya Jiolojia akimuonesha Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi,Teknolojia na Ufundi Bi. Maimuna Tarishi ramani ya maeneo katika maeneo sahihi ya ujenzi wa majengo katika shule ya sekondari Ihungo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...