Mgeni
rasmi Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe.
Balozi Dkt. Augustine Mahiga akitoa hotuba kwenye sherehe za maadhimisho
ya miaka 71 ya Umoja wa Mataifa zilizofanyika katika viwanja vya
Karimjee jana jijini Dar es Salaam.Mratibu
Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la
Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez akimpongeza Mgeni rasmi Waziri wa
Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Dkt.
Augustine Mahiga kwa hotuba nzuri.
Mratibu
Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la
Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez akitoa salamu za Umoja wa Mataifa
kwenye sherehe za maadhimisho ya miaka 71 ya Umoja huo tangu kuanzishwa
kwake zilizofanyika katika viwanja vya Karimjee jana jijini Dar es
Salaam.Baadhi
ya mabalozi mbalimbali waliodhuria sherehe za maadhimisho ya miaka 71
ya Umoja wa Mataifa wakiwa jukwaa kuu katika viwanja vya Karimjee jana
jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...