Mbunge wa Jimbo la Ilemela na Naibu waziri wa Ardhi Dkt .Angeline Mabula akigawa Chaki zinazotengenezwa na kiwanda cha vijana- Maswa Chalk kilichopo Mkoani Simiyu,Dkt.Mabula yupo ziara jimboni kwake akihamasisha masuala ya kielimu kwa kugawa vitabu na Katoni za Chaki kwenye shule zake za msingi na sekondari.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...