SIMU.TV: Tanzania imeungana na nchi nyingine duniani kuadhimisha siku ya watoto njiti ikilenga kupunguza idadi vifo vya watoto wanaozaliwa njiti. https://youtu.be/6mnF6FeuygU
SIMU.TV: Baraza la usimamizi na uthibiti wa mazingira NEMC limekamata magari yaliyokuwa yakijihusisha na uchimbaji holela wa mchanga kwenye daraja la Magole wilayani Kilosa. https://youtu.be/xYvGdX0L7dw
SIMU.TV: Zaidi ya ngombe 2500 wamekutwa wakiharibu vyanzo vya maji vya mto Katuma uliopo wilayani Mpanda katika mkoa wa Katavi. https://youtu.be/7jyNk7Iy-1Q
SIMU.TV: Wakazi wa Mji Mwema katika wilaya ya Kigamboni wanaojihusisha na uchumbaji wa kokoto wamelalamikia agizo la mkuu wa wilaya hiyo la kuwataka waondoke maeneo hayo ya uchimbaji. https://youtu.be/XW5BIR888ys
SIMU.TV: Serikali imetoa muda wa mwezi mmoja na nusu kwa mikoa yote nchini ambayo haijamaliza tatizo la madawati kuhakikisha inamalizia changamoto hiyo. https://youtu.be/2HHeK1Vrw1Y
SIMU.TV: Benki ya Amana tawi la Mbagala jijini Dar es Salaam imezindua huduma mpya ya mikopo kwa wajasiriamali wadogo ili kukuza mitaji yao. https://youtu.be/bSHKFXPqrcI
SIMU.TV: Halmashauri nchini zimeshauriwa kutumia vifaa nyenye ubora katika ujenzi wa barabara na usafi wa mazingira ili kuepuka gharama za marekebisho ya mara kwa mara kwa vitendea kazi. https://youtu.be/PnpmiKY2VQw
SIMU.TV: Ongezeko la wawekezaji katika sekta ya mawasilino nchini imewezesha serikali kufanikisha lengo la kuwarahisishia wananchi huduma za mawasiliano. https://youtu.be/z5in97ceLPk
SIMU.TV: Ligi ya vijana wenye umri wa chini ya miaka ishirini imeendelea leo wakati timu ya Azam imekubali kutoshana nguvu na timu ya Mbao Fc kwa mabao mawili kwa mawili. https://youtu.be/To_ALIGmt9E
SIMU.TV: Mbunge wa jimbo la Mikumi Joseph Haule amekabidhi vifaa vya michezo kwa timu 30 za kata za jimbo hilo kwa ajili ya mashindano ya kombe la Profesa jay cup. https://youtu.be/4HK5z2wZkOM
SIMU.TV: Nahodha wa timu ya Uingereza Wayne Rooney amemuomba msamaha kocha wa timu ya taifa kufuatia picha zilizosambaa zikimuonesha akiwa amelewa. https://youtu.be/p7KgNimZ3QE
SIMU.TV: Klabu ya Azamu Fc imekamilisha usaji wa wachezaji wawili kutoka nchini Ghana kwa ajili ya mzunguko wa pili wa ligi kuu Tanzania bara. https://youtu.be/-fNF3S_ITKI
SIMU.TV: Klabu ya Mbeya city imewataka mashabiki wake kuendelea kuwa wavumilivu wakati ikijiandaa kutoa taarifa rasmi ya usajili wa dirisha dogo la msimu huu. https://youtu.be/XSCt4XyucN4
SIMU.TV: Timu ya soka ya wanawake ya mkoani Mtwara imepiga hodi kwa mkuu wa mkoa huo Halima Dendego kuomba msaada wa kuwawezesha kwenda mkoani Pwani kwa ajili ya michuano ya ligi ya wanawake. https://youtu.be/5JoLeZiZWpM
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...