Na Ibrahim Kamwe "Bigright"
Hivi karibuni kumetokea na migongano ya kisheria na fitna ndani ya ngumi za kulipwa na baadhi ya wavamizi  kuitumia nafasi hiyo kuisambaratisha kama sio kuua kabisa tasnia ya ngumi za kulipwa.kwa kujaribu kufanya mapinduzi.
 Ukweli ni kuwa kwa muda mrefu sana ngumi za kulipwa hapa nchini zilikuwa zikiendeshwa na kuongozwa na  makampuni hasa PST na TPBO huku TPBC nayo ikijikokota kwa nyuma yao likisimamia jina bila kuwa na mapambano mengi ya kueleweka. 
Huku mapambano yote makubwa na ya ubingwa  yakisimamiwa na makampuni hayo na mawaziri  wenye dhamana husika wakiwa ndio wageni rasmi na kutoa michango yao, kwa TPBO au PST au TPBC ltd, sasa iweje leo hawakubaliki? Kusoma zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...