Mkurugenzi wa Uraghabishi na Habari – TACAIDS Jumanne Issango akizungumza na waandishi wa habari kuhusu masuala ya UKIMWI kwa vijana leo jijini Dar es Salaam.Kutoka kushoto ni Mratibu wa Shughuli za Vijana TACAIDS Bibi. Grace Kessy, Mratibu Mwandamizi wa Shirika la Restless Development Bw. Oscar Kimaro na Mratibu wa Shughuli za Rufaa kwa Watoto na Walezi waishio katika mazingira magumu Dar es Salaam, Dkt. Fredy Frank.
 Mratibu Mwandamizi wa Shirika la Restless Development Bw. Oscar Kimaro akifafanua jambo wakati wa mkutano wao na waandishi wa habari kuhusu masuala ya UKIMWI kwa vijana leo jijini Dar es Salaam.Kutoka kulia ni Mkurugenzi wa Uraghabishi na Habari – TACAIDS Jumanne Issango na Mratibu wa Shughuli za Rufaa kwa Watoto na Walezi waishio katika mazingira magumu Dar es Salaam kutoka Shirika la PACT, Dkt. Fredy Frank (katikatika).
  Mratibu wa Shughuli za Rufaa kwa Watoto na Walezi waishio katika mazingira magumu Dar es Salaam, Dkt. Fredy Frank akifafanua jambo wakati wa mkutano wao na waandishi wa habari kuhusu masuala ya UKIMWI kwa vijana leo jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya waandishi wa habari wakifuatilia mkutano baina yao na wawakirishi kutoka Tume ya Taifa ya Kudhibiti Ukimwi (TACAIDS), Restless Development na Shirika la PACT uliofanyika leo jijini Dar es Salaam katika ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO).

Picha zote na: Frank Shija – MAELEZO.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...