Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro ametoa mbinu kwa wanawake kujinasua na mfumo dume kwa kuachana na tabia tegemezi, ambayo husababisha kukithiri kwa manyanyaso kwao kutoka kwa waume zao.
Amewataka wajikite kwenye vikundi vya ujasiriamali ambavyo vitawaondoa kwenye mfumo huo kwa kujikwamua kiuchumi. 
Matiro ameyasema leo mjini Shinyanga wakati wa hafla fupi ya ugawaji baiskeli 36 kwa wawezeshaji elimu ya ujasiriamali kutoka shirika lisilo la kiserikali (Rafiki-Sido ) mkoani Shinyanga linalojihusisha na mradi wa uwezeshaji wa vijana wa kike hususani wanaoishi katika mazingira magumu ili kuwainua kiuchumi. Habari kamili BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...