Mwenyekiti wa Bodi ya Uendeshaji wa Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo (Law School) Bw.Gerson Mdemu na Katibu wa bodi hiyo Dkt. Zakayo Lukmay wamemtembelea Waziri wa Mambo ya Katiba na Sheria Dkt Harrison Mwakyembe Ofisini kwake mjini Dodoma na kuzungumzia mambo mbali mbali juu ya Taasisi hiyo ya mafunzo ya vitendo kwa wanasheria nchini. Mazungumzo hayo pia yalihudhuriwa na Katibu MKuu Prof. Sifuni Mchome

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...