Maofisa wa kampuni ya magari ya Tata Motors, wakioneysha magari mapya aina ya
Tata Ultra Truck na Tata Ultra Bus wakati wa uzinduzi rasmi wa magari hayo
jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa Kitengo cha Biashara ya Magari cha Kampuni ya Tata Africa Holdings (T)
Ltd, Prashant Shukla (wa tatu kulia), akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa
toleo jipya la gari la abiria na la mizigo la Tata Ultra jijini Dar es Salaam
jana. Wengine ni baadhi ya maofisa wa kampuni hiyo.
Mkuu wa Kitengo cha Biashara ya Magari
cha Kampuni ya Tata Africa Holdings (T) Ltd, Prashant Shukla (kushoto),
akizungumza wakati wa uzinduzi rasmi wa toleo jipya la gari la abiria na la
mizigo la Tata Ultra jijini Dar es Salaam. Kushoto kwake ni baadhi ya maofisa
wa kampuni hiyo.
Mkuu wa Kitengo cha Biashara wa kampuni ya magari ya Tata Motors, Rudrarup
Maitra (kushoto),
akizungumza wakati wa uzinduzi rasmi wa toleo jipya la gari la abiria na la
mizigo la Tata Ultra jijini Dar es Salaam. Kushoto kwake ni baadhi ya maofisa
wa kampuni hiyo.
Wasanii wa kikundi cha Mama Afrika wakitoa burudani katika hafla ya uzinduzi wa
magari mapya ya Tata Ultra Truck na Tata Ultra Bus jijini Dar es Salaam jana.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...