Msemaji wa Simba Haji Sunday Manara amefungiwa kutojihusisha na mchezo wa soka kwa muda wa miezi 12 na kutakiwa kulipa faini ya shilingi milioni tisa , kwa utovu wa nidhamu wa kutoa matamshi yasiyo na staha kwa viongozi wa TFF pamoja na vyombo vya uongozi wa mchezo huo. Makamu Mwenyekiti wa kamati ya nidhamu ya TFF Wakili msomi Jerome Msemwa pia amesema Haji Manara anaweza kukata rufaa.
Home
Unlabelled
BREAKING: HAJI MANARA AFUNGIWA MIEZI 12 NA FAINI YA SHILINGI MILIONI 9 KWA UTOVU WA NIDHAMU
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...