Wimbo mpya wa Petty Baraka unaitwa Kazi ya Moyo uliotengezwa Studio ya Pamoja Records ya Nas B 
Petty Baraka ni msanii anayefanya kazi nzuri ya muziki,awali alikuwa Mabatini jijini Mwanza sasa anapatikana Temeke jijini Dar es salaam. Wasiliana naye kwa simu namba 0653 710 388 
Petty Baraka anawaalika wapenzi wa muziki kumpokea kwa mikono miwili ili kutimiza ndoto zake katika muziki. 
Sikiliza wimbo Kazi ya Moyo ya Petty Baraka hapa chini

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...