Meneja wa wateja wakubwa kutoka wakala wa hisa(Orbit Securities) Godfrey Gabriel,akiwasilisha mada ya umuhimu wa kununua hisa kwa wanafunzi wa chuo cha Mtakatifu Augustine Mwanza leo, wakati wa semina iliyofanyika chuoni hapo leo. 
Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano Vodacom Tanzania Jacqueline Materu,akizungumza na wanafunzi wa chuo cha Mtakatifu Augustine Mwanza leo, wakati wa semina ya elimu ya ununuzi wa hisa. 
Mkurugenzi Mtendaji wa Oparesheni wa Kampuni ya uwakala wa hisa ya Oarbit Security Juventus Simon, akijibu maswali ya wanafunzi wa chuo cha Mtakatifu Augustine Mwanza leo, wakati wa semina ya umuhimu wa ununuaji wa hisa iliyofanyika chuoni hapo leo. 
Rais wa Serikali ya wanafunzi wa chuo cha Mtakatifu Augustine Makamba Bahati,akizungumza jijini Mwanza leo,wakati wa semina ya umuhimu wa ununuaji wa hisa iliyofanyika chuoni hapo. 
Wanafunzi wa chuo cha Mtakatifu Augustine, wakijisomea vipeperushi vinavyoonyesha jinsi ya kununua hisa za Vodacom Tanzania, wakati wa semina ya umuhimu wa ununuaji wa hisa iliyofanyika chuoni hapo jijini Mwanza leo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...