Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj dk.Ali Mohamed Shein (wa tatu kushoto) alipojumuika na Waislamu mbali mbali katika kumswalia Marehemu Mzee Taimur Saleh Juma katika Msikiti wa Ijumaa Mchangani Mjini leo,marehemu aliwahi kushika nyazifa mbali mbali katika Serikalia ya Mapinduzi Zanzibar
 Baadhi ya Waislamu wakiitikia dua iliyoombwa baada ya Swala ya Maiti ya Marehemu Mzee Taimur Saleh Juma  katika msikiti wa Mchangani Mjini,ambapo Viongozi mbali mbali wa Serikali na Vyama vya Siasa walihudhuria na kwenda kuzikwa katika makaburi ya Kianga alipozikwa Marehemu huyo 
 Viongozi na Waislamu wakilibeba jeneeza la mwili wa Marehemu Mzee Taimur Saleh Juma baada ya kuswaliwa katika Msikiti wa Ijumaa Mchangani Mjini na kuelekea katika mazishi yake yaliyofanyika leo katika makaburi ya Kianga wilaya ya Magharibi "A"Unguja
 Baadhi ya waislamu na Wananchi mbali mbali wakilibeba jeneeza lenye mwili wa Marehemu Mzee Taimur Saleh Juma baada ya kuswaliwa katika Msikiti wa Ijumaa Mchangani Mjini na kuelekea katika mazishi yake yaliyofanyika leo makaburi ya Kianga wilaya ya Magharibi "A"Unguja
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj dk.Ali Mohamed Shein (wa tatu kulia) alipojumuika na Viongozi mbali mbali na Waislamu  katika kumzika Marehemu Mzee Taimur Saleh Juma katika makaburi ya Kianga Wilaya ya Magharibi "A" Unguja yaliyofanyika. 
Picha na IKULU

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...