Meneja Mradi wa kuchakata na kusafirisha Gesi katika Kisiwa cha Songo Songo,
Andrew Hooper (kulia) kutoka Kampuni ya Pan African Energy akitoa maelezo mbele
ya Kamati ya Ulinzi na Usalama inayoongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Kilwa,
Christopher Ngubiagai (Wapili kushoto) walipotembelea mitambo ya Gesi Songas
iliyopo katika kisiwa hicho juzi.
Ofisa Usalama wa Kampuni ya Pan African Energy inayochakata na kusafirisha Gesi kutoka Kisiwa
cha Songo Songo, Baraka Melchiory (wa pili kulia) akitoa maelezo kwa Mkuu wa
Wilaya ya Kilwa, Christopher Ngubiagai (kushoto) kuhusu hali ya usalama na
namna ya kujikinga na majanga pindi itokeapo itilafu katika mradi huo. Mkuu wa
Wilaya aliambatana na Kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya katika ziara yake
kutembelea mradi wa Songas juzi.
Mkuu wa Wilaya ya Kilwa, Christopher Ngubiagai (Kushoto) akizungumza na
Meneja Mradi wa kuchakata na kusafirisha Gesi Songas katika kisiwa cha Songo
Songo, Andrew Hooper (kulia) kutoka Kampuni ya Pan African Energy. Mkuu wa
Wilaya ya Kilwa aliambatana na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya wilaya katika
ziara yake juzi.
KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA
KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...